Chelsea na Arsenal Macho Wazi! Real Madrid Yabadili Gia Angani Kuhusu Nico Paz
Real Madrid imebadili maamuzi kuhusu kiungo Nico Paz, hatua inayozipa matumaini klabu za Chelsea, Arsenal na Tottenham kumsajili staa huyo wa Como.
Real Madrid imebadili maamuzi kuhusu kiungo Nico Paz, hatua inayozipa matumaini klabu za Chelsea, Arsenal na Tottenham kumsajili staa huyo wa Como.
Beki wa zamani wa England, Paul Parker, amedai kuwa Jude Bellingham si mchezaji muhimu kwenye kikosi cha Thomas Tuchel huku akimponda Anthony Gordon.
Manchester United wapata kikwazo kumsajili Mateus Fernandes wa West Ham, huku Liverpool wakipiga hodi kutaka kuharibu dili hilo la pauni milioni 80.
Ukweli kuhusu tetesi za Darwin Nunez kurejea Liverpool msimu huu wa joto umebainika, huku ripoti zikitaja mpango huo kama jambo lisilowezekana.
Mtaalamu wa usajili Fabrizio Romano ameanika ukweli kuhusu uwezekano wa winga wa Liverpool, Cody Gakpo, kujiunga na Tottenham Hotspur chini ya Roberto De Zerbi.
Mshambuliaji wa Atletico Madrid, Julian Alvarez, amekataa ofa za Arsenal na PSG huku akisisitiza ndoto yake kubwa ni kujiunga na Barcelona.
Lionel Messi amefika mabao matano katika Kombe la Dunia 2026 na kuongoza orodha ya wafungaji wa muda wote baada ya Argentina kuifunga Austria.
Kiungo wa Newcastle United, Sandro Tonali, anaripotiwa kupendelea kujiunga na Arsenal chini ya Mikel Arteta msimu huu badala ya kwenda Tottenham.
Tottenham Hotspur imeanza mazungumzo na Liverpool kwa ajili ya kumsajili winga wa Uholanzi, Cody Gakpo, ambaye kwa sasa anang'ara kwenye Kombe la Dunia la 2026.