Tottenham yafunga mlango: Hawamtaki Romero ajiunge na Arsenal
Uongozi wa Tottenham Hotspur umeweka wazi kuwa haupo tayari kumuuza beki wao Cristian Romero kwenda kwa mahasimu wao, Arsenal, kwenye dirisha hili.
Uongozi wa Tottenham Hotspur umeweka wazi kuwa haupo tayari kumuuza beki wao Cristian Romero kwenda kwa mahasimu wao, Arsenal, kwenye dirisha hili.
Kocha Michael Carrick amewatoa hofu mashabiki wa Manchester United kuhusu hali ya Mason Mount aliyepata maumivu katika mchezo dhidi ya Paris Saint-Germain.
Manchester United inatajwa kurejea sokoni kusaka kiungo wa tatu baada ya Mason Mount kuumia kwenye mchezo dhidi ya PSG.
Beki wa Tottenham, Cristian Romero anaripotiwa kutaka kujiunga na Arsenal, lakini klabu yake imeweka wazi kuwa haitawauzia mchezaji wao watani wao wa jadi.
Liverpool inakaribia kumsajili Ronald Araujo kwa mkopo, lakini kocha Andoni Iraola anakabiliwa na presha kutokana na uhaba wa wachezaji kwenye safu ya ulinzi.
Manchester United imepata pigo katika harakati zao za kutafuta beki wa kushoto baada ya Alvaro Carreras kusisitiza nia ya kubaki Real Madrid.
Arsenal wamekataa kulipa ada ya Pauni milioni 128 kwa ajili ya winga wa PSG, Bradley Barcola, huku Liverpool wakionekana kuongoza mbio za kumsajili.
Bruno Guimaraes amekamilisha uhamisho wake kwenda Arsenal kwa pauni milioni 75 na kutoa shukrani za dhati kwa klabu yake ya zamani ya Newcastle United.
Chipukizi Endrick anaripotiwa kutaka kuondoka Real Madrid huku vilabu kadhaa vya Ligi Kuu ya England vikimtolea macho kwa mkopo au uhamisho wa kudumu.